Said Mkane
Wasifu:
Mfanyabiashara ya mpunga katika wilaya ya mbarali, mbeya.. Mwana jamii na mwenye moyo wa kujali na kujitolea
Alipoonekana mwisho: Mbeya
Alipigwa risasi ya kichwani na askari siku ya jumatano 29 October wakati akiwa anatoka kufanya mazungumzo na rafiki zake