Victim photo

Gregory Marco Mgifi

Hali: Aliuwawa Umri: 30

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dodoma

Gregory Mgifi alikuwa mkazi wa Dar es Salaam Alienda Dodoma kikazi na alipigwa risasi na kufariki tarehe 30 Oktoba Alizikwa mkoa wa Iringa, wilaya ya Iringa vijijini , kijiji cha Wangama