Victim photo

Abdallah Saad Hussein

Hali: Aliuwawa Umri: 30

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Pwani

Mahali: *Kwa MATHIAS*, KIBAHA, Mkoa wa Pwani. Msikiti: *Masjid Qadiria* maarufu kama *Msikiti wa sheikh Kishki* Tarehe ya kifo: 30/10/2025 Mazingira ya kifo: Hakuwa sehemu ya waandamanaji, alipigwa risasi na polisi akivuka barabara kwenda kuswali swala ya saa 7 mchana. Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya TUMBI na mazishi yalifanyika kijijini kwa Turiani, mkoa wa Morogoro.