Victim photo

Daudi Shija

Hali: Aliuwawa Umri: 30

Wasifu:

Alikuwa mwimbaji wa kwaya kanisani

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Aluwawa kwa kupigwa risasi ya kichwa Oktoba 30 2025, hata mazisihi yake ilifanywa kwa siri ila alizikwa na familia.