Victim photo

Moses Raymond Mwanja

Hali: Aliuwawa Umri: 37

Wasifu:

Alipoonekana mwisho: Dodoma

Aliuwawa na Risasi mbele ya familia yake tarehe 30/10/2025 huko Dodoma na alizikwa tarehe 6/11/2025 Makaburi ya Masekelo Shinyanga karibu kanisa la Roma Ndala Baada ya kumpigwa risasi walimbeba na kuondoka na mwili wake (haieleweki walizika nini) Kaacha watoto watatu wadogo na mke inauma sana