Victim photo

Liberatus Samson Kamayugi

Hali: Aliuwawa Umri: 39

Wasifu:

Liberatus, alikuwa kijana mpambanaji sana, wakati wote amekuwa akivaa rozari. Ni fundi mzuri sana wa furnitures (Sofa). Tumepata kuona video za mpendwa wetu mtandaoni tar. 6/11/2025 kwa Mange Kimambi akiwa amevali mavazi ya siku hiyo T-shirt ya blue na suruali nyeusi pamoja na rozari yake nyeupe. Mwili wake Haujapatikana mpaka sasa. https://x.com/mangekimambi/status/19864 33862789124376?s=46

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Liberatus, alitoka ofisini kwake Sinza Mapambano, na kuuliwa akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mbezi ya Kimara.