Victim photo

Alphan Hamis Malima

Hali: Aliuwawa Umri: 31

Wasifu:

Alipigwa risasi akiwa gengeni ananunua matunda jirani na nyumbani alikokuwa akiishi

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alipigwa risasi mwili wake ukabebwa na haujapatikana