Victim photo

Mkamba Hussein

Hali: Aliuwawa Umri: 28

Wasifu:

Alikua kijana mzuri na mwenye elimu nzuri, ila alipigwa risasi na familia yake haikupewa mwili kuzika.

Alipoonekana mwisho: Dar es Salaam

Alipigiwa risasi akiwa Magomeni akapelekwa hospital ya wilaya Magomeni hapo ndio umauti ulimkuta, alivyo pelekwa moshwari mwili hauku patikana tena.